|
 |
Blandina - Autosa Unesi Awe Msanii wa Maigizo |
|
KUNa umuhimu mkubwa wa wazazi nchini kuchunguza vipaji vya watoto wao kabla ya kuwapangia nini cha kufanya hasa katika suala zima la masomo. Mfano mzuri ni mwanadada Radhia Hassan Mtetemela ambaye aliacha kazi yake ya unesi kuwa msanii wa maigizo.
... Full Story |
|
|
|
|
 |
Je Muziki wa Bongo Fleva Unakaribia Kupoteza Utamu Wake? |
|
KUANZIA mwanzoni mwa miaka ya 2000, ubongo wa vijana wengi wa Tanzania ulikuwa umejaa muziki wa Bongo Fleva. Unapowaona wamekaa vijana zaidi ya mmoja, basi mazungumzo yao yalikuwa ni juu ya muziki huo.Hata mavazi yalikuwa tofauti Suruali kubwa inayoacha makalio wazi, fulana kubwa na hereni kifuani.
... Full Story |
|
|
|
|
 |
Msafiri Diof - 'Mademu Sio Starehe Yangu, Starehe Yangu ni Ganja' |
|
Mwanamuziki Mashuhuri wa Twanga Pepeta Msafiri Diof amesema kwamba starehe yake kubwa sio mademu kama walivyo wasanii wengi maarufu na ametonya kwamba mademu wanaomtafuta kingono watasubiri sana kwani yeye starehe yake kubwa ni kulanduka ndumu (kuvuta bangi) ambazo zimesababisha watu wafikirie kuwa anatumia madawa ya Kulevya.
... Full Story |
|