|
|
|
Vitambulisho vya Taifa vitaanza kutolewa mwishoni mwa mwaka |

|
Tuesday, February 09, 2010 11:03 AM
MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), imesema awamu ya kwanza ya utoaji vitambulisho vya Taifa vitaanza kutolewa mwishoni mwa mwaka huu. |
Taarifa hiyo ilitolewa jana jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu wa Nida, Dickson Maimu, alipokuwa akizungumza vyombo vya habari.
Alisema awamu hiyo itawahusu kwa wale wasiokuwa na uraia wa nchi hii
Alifafanua kuwa mradi wa vitambulisho utakuwa na miradi midogo midogo 14 itakayoweza kuzungumza na sekta zingine.
Alisema mchakato wa kuwapa uraia kwa wale wasiokwua raiaa wan chi ukiisha mchakato huo utaingia katika hatua nyingine ya kugawa kwa wananchdi wote.
Alisema utoaji wa vitambulisho utasaidia utambuzi wa uraia, utasaidia kuwatambua wanafunzi wa elimu ya juu waliochukua mikopo kutoka Bodi ya Mikopo, ukusanyaji wa mapato ya serikali na kuwatambua watu ambao ni wahalifu.
Faida nyingine ni kuwatambua watu wanaokopa benki na kushindwa kulipa, kumtambua mfanyabiashara anayetumia majina tofauti, kumsaidia mtu kupata malipo ya pensheni kutambua kumbukumbu za watumishi wa serikali na kusaidia zoezi la kuhesabu watu.
|
|
|
Na Mwandishi Wetu, Dar
|
|
|
|
|
|
|
|
Mtoa Maoni:
Jamrock
Tuesday, February 09, 2010 11:51:40
|
|
Mtoa Maoni:
DeClarkes
Tuesday, February 09, 2010 11:56:28
|
|
Mtoa Maoni:
MINA
Tuesday, February 09, 2010 14:03:34
|
|
Mtoa Maoni:
Semenya
Tuesday, February 09, 2010 21:08:29
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Habari zaidi za Tanzania |
...Habari Zaidi
|
|
Advertisements

|
|
Habari Zilizosomwa Sana |
|
|
|
|
| Photo Gallery |
 |
|
|
 |
|
|
|
|
|
|
|